Ukiukwaji wa maadili ni sehemu ya kilio cha jamii ya
watanzania na tayari kilio hicho kimeifikia serikali ambayo imechukua
hatua za awali ya kuwaonya watu wanaofanya tabia hizo.
Naibu Waziri wa habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia
ameeleza hatua ambazo wizara hiyo imechukua katika kukomesha ukiukwaji
wa maadili unaofanywa hasa katika kumbi za starehe.
Akijibu swali
↧