Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajiua kwa kujinyonga kwa mkanda wa Seruali yake

Mtu mmoja Jabiri Joseph anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30 amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake.   Kwa mujibu wa polisi, mtu huyo inasadikiwa alijitundika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda atamani kanuni za Bunge zirekebishwe ili kuwabana...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda anasema ikiwezekana Kanuni za Kudumu za Bunge zirekebishwe ili kuwabana wabunge wa Upinzani wanaotoka bungeni.    Aidha, amewataka wabunge kuheshimu mamlaka ya Mkaguzi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 27, Internet milioni 9

IDADI ya watumiaji wa huduma za simu nchini imeongezeka kutoka laini za simu za kiganjani milioni 2.96 mwaka 2005 hadi kufikia milioni 27.45 Desemba mwaka jana.   Hayo yamebainishwa jana bungeni na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi kwa miaka minne...

Nasrah Rashid (kulia) enzi za uhai wake. Mwanaume  mwenye  shati  la  bluee  aliyekaa ni baba yake mzazi Rashid Mvungi. ****** MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Mama mzazi wa Zitto Kabwe afariki dunia

Rais Jakaya Kikwete alipomjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa wenye kuhitaji uangilizi maalumu (ICU)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mkristo kuachiwa...

Mwanamke wa Sudan anayesubiri hukumu ya kunyongwa kwa kosa la kuolewa na Mkristo huenda akaachiwa huru hivi karibuni.   Afisa mmoja wa serikali amesema nchi hiyo inaendelea na mipango ya kumwachia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha zinatisha: Majambazi Yaua mtu mmoja kwa Risasi jijini Arusha.....

Mtu mmoja amepigwa risasi zisizojulikana idadi yake na kupoteza maisha katika eneo la Clock Tower Jijini Arusha na majambazi ...... Majambazi hao walikuwa wakipora kwenye Bureau Change iitwayo Nothern...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Bibi wa mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi akilia kwa uchungu...

Bibi wa mtoto Nasrah Rashid, Bi. Asha Abdallah akilia kwa uchungu baada ya kupata taarifa za msiba wa mjukuu wake huko nyumbani kwake maeneo ya Mafisa mkoani Morogoro. Kushoto ni mwanae Khadija Hamisi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa mama yake Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma kwa Mazishi.....

Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama Yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum  na kuuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 2 June 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  tarehe  2  June  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

George Tyson kuagwa Leaders Club, kuzikwa Jumamosi ya June 7 nchini Kenya

Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi.  Awino  Felix Akizungumzia  taratibu  za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyekuwa amefungiwa ndani ya boksi atazikwa kwa heshima zote.....Leo...

Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa  miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama mzazi wa Zitto Kabwe kuzikwa leo saa tisa alasiri katika kijiji cha...

Mwili  wa  mjumbe  wa  bunge  maalumu  la  katiba, Shida  Salum (54), aliyefarki  dunia  jana  katika  hospitali  ya  AMI  jijini  Dar es Salaam  utazikwa  leo  saa  tisa  alasiri  katika  kijiji  cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume wa Flora Mbasha anayetuhumiwa kumbaka shemeji yake ajitokeza....Asema...

Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka shemeji yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Uganda ammwagia sifa Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.....Asema atapeleka...

Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki. Rais Museveni aliyasema hayo Jumamosi wakati ibada ya kuombea mchakato wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanajeshi wa Tanzania ( JWTZ ) wazuiwa kupita Rwanda

Serikali  ya  Rwanda  imedaiwa  kuwazuia  kupita  nchini  humo  baadhi  ya  askari  wa  jeshi  la  wananchi  wa  Tanzania  (JWTZ)  waliotoka  kukisambaratisha  kikundi  cha  waasi  wa  M23  kilichokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Yanayojiri Kigoma katika mazishi ya mama mzazi wa Zitto Kabwe, Shida...

Mwili wa marehemu Shida Salum ukiandaliwa kwa ajili ya kuombewa. Mwili wa marehemu ulipowasili nyumbani. Mwili wa marehemu Shida Salum ukishushwa baada ya kuwasili nyumbani mchana wa leo. Viongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapiness Magesse: Nilifanyiwa upasuaji mara 12 kunusuru kizazi changu bila...

Februari  ya  kila  mwaka  huenda  ikawa  ni  kumbukumbu  mbaya  kwa  mwanamitindo  na  Miss Tanzania  2001, Hapiness Millen  Magese  ambaye  mwezi  huo  ndipo  alipogundulika  kuwa  hataweza  kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vilio vyatawala mkoani Morogoro wakati mwili wa mtoto aliyefichwa ndani ya...

Mwili wa mtoto Nasra ukiwa mochwari.  Waombolezaji wakiangua kilio baada ya mwili wa marehemu Nasra Rashid (4) kuwasili mkoani Morogoro.  Wanahabari wakichukua matukio wakati mwili wa mtoto Nasra...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 3 June 2014

Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  3  June  2014

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>