Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Mkuu Mizengo Pinda atamani kanuni za Bunge zirekebishwe ili kuwabana wabunge wa upinzani wanaopenda kususia Bunge.....Asema wakiachwa watazoea

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda anasema ikiwezekana Kanuni za Kudumu za Bunge zirekebishwe ili kuwabana wabunge wa Upinzani wanaotoka bungeni.    Aidha, amewataka wabunge kuheshimu mamlaka ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kumwachia jukumu la kufanya ukaguzi kuhusu suala la malipo kwa Kampuni ya IPTL.    Waziri Mkuu Pinda aliyasema hayo juzi jioni wakati alipopewa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>