Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 27, Internet milioni 9

$
0
0
IDADI ya watumiaji wa huduma za simu nchini imeongezeka kutoka laini za simu za kiganjani milioni 2.96 mwaka 2005 hadi kufikia milioni 27.45 Desemba mwaka jana.   Hayo yamebainishwa jana bungeni na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, wakati akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2014/15.   Licha ya kuongezeka kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>