Mtu mmoja
Jabiri Joseph anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30 amekufa
baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake.
Kwa mujibu wa
polisi, mtu huyo inasadikiwa alijitundika kwenye nondo ya dirisha la chumba cha
nyumba alimokuwa akiishi.
Kamanda wa
Polisi Mkoa wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam Camilius Wambura alisema hayo
jana na kuongeza kuwa tukio
↧