Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajiua kwa kujinyonga kwa mkanda wa Seruali yake

$
0
0
Mtu mmoja Jabiri Joseph anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30 amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake.   Kwa mujibu wa polisi, mtu huyo inasadikiwa alijitundika kwenye nondo ya dirisha la chumba cha nyumba alimokuwa akiishi.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam Camilius Wambura alisema hayo jana na kuongeza kuwa tukio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>