Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais wa Uganda ammwagia sifa Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.....Asema atapeleka ushahidi Roma kuhusu maisha ya Nyerere ili atangazwe Mtakatifu

$
0
0
Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki. Rais Museveni aliyasema hayo Jumamosi wakati ibada ya kuombea mchakato wa kumfanya Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwenyeheri na hatimaye kutangazwa mtakatifu.    Alisema hata kwenye maandiko matakatifu ya Biblia kuna mistari inayomtaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>