Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za
Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda
polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka shemeji yake mwenye
umri wa miaka 17.
Faili la tuhuma dhidi ya Mbasha lilifunguliwa
Jumatatu iliyopita katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule) wakati
shemejiye huyo (jina tunalihifadhi),
↧