Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama mzazi wa Zitto Kabwe kuzikwa leo saa tisa alasiri katika kijiji cha Mwanga, Kigoma Mjini

$
0
0
Mwili  wa  mjumbe  wa  bunge  maalumu  la  katiba, Shida  Salum (54), aliyefarki  dunia  jana  katika  hospitali  ya  AMI  jijini  Dar es Salaam  utazikwa  leo  saa  tisa  alasiri  katika  kijiji  cha  Mwanga, Kigoma  Mjini. Shida  ambaye  pia  ni  mama  mzazi  wa  mbunge  wa  Kigoma  Kaskazini  kwa tiketi  ya  CHADEMA, Zitto Kabwe  alifariki  jana  saa  tano asubuhi  katika  hospitali  ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>