Mwanamke wa Sudan anayesubiri hukumu ya kunyongwa kwa kosa la kuolewa na Mkristo huenda akaachiwa huru hivi karibuni.
Afisa mmoja wa serikali amesema nchi hiyo inaendelea na mipango ya kumwachia Meriam Ibrahim katika siku chache zijazo.
Meriam Ibrahim aliyebadili dini na kuwa Mkristo anakabiliwa na hukumu ya kifo kwa kukataa kurudi tena katika dini ya Kiislamu.
Meriam alijifungua
↧