Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu washauriwa kuacha kutumia VIROBA wakati wa kufundisha

Baadhi ya walimu wakuu wa shule za sekondari Tanzania kanda ya mashariki kupitia umoja wao TAHOSSA wakimsikiliza ofisa elimu mkoa wa pwani hayupo alipofungua mkutano wao mjini Kibaha. Picha ya pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa Siasa

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Arusha,Mzee Jackson Kaaya nyumbani kwake Poli Meru wakati alipofika kumuona na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majani ya Mapapai hayatibu Dengue....Wananchi washauriwa kutokubali...

Halmashauri  ya  manispaa  ya  Ilala  imesema  kuwa  majani  ya  mapapai  si  tiba  ya  ugonjwa  wa  dengue  hivyo  ni vyema  wananchi wakafika  hospitalini  kupatiwa  dawa  kuliko  kudanganywa  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 19 May 2014

Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  19  May  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hili ni Jibu la Irene Uwoya baada ya kuulizwa uhusiano wake na Msami wa THT.

May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya...

Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumuibia shilingi milioni tisa.   Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi aanza kupumulia Mashine......

MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine  katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wa Kambi rasmi ya upinzani wasusia bajeti ya wizara ya nishati na...

Kiongozi  wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe amewatoa wabunge wote wa upinzani Bungeni ikiwa ni shinikizo la kuipinga Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kama ilivyokuwa imewasilishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumamosi ya tarehe 31 May 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  tarehe  31  May  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu jamaa alipelekwa Mahakamani kwa kesi ya kubaka, alipofika Mahakamani...

Watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyu walijitokeza Mahakamani ili kuangalia kama ndugu yao aitwae Simon Ngozi (21) ataweza kupata dhamana kwenye kesi inayomkabili ya kubaka mtoto wa miaka tisa.   Jamaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Nasra aliyekuwa amefichwa ndani ya Boksi aondolewa mashine maalumu ya...

Hali ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua.   Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi lasema, Vijana 17 waliokamatwa jijini Arusha si Al shabaab...

JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Peter Mutharika ashinda kinyang'anyiro cha Urais Nchini...

Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria kwa wiki nzima. Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Msanii Mwingine wa bongo muvi, George Tyson ambaye alikuwa ni...

NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi, mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry 'Monalisa', George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Mwili wa marehemu George Tyson ukitolewa hospitali ya mkoa Morogoro na...

Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro    Mwili wa marehemu George Tyson ukiwekwa sawa kabla ya kuanza safari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Majeruhi aliyekuwa pamoja na marehem George Tyson wakati gari yao...

Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladys Chiduo 'Mc Zipomba' akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu mapema leo  (Picha: Dustan/gpl) <!-- adsense...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam afariki dunia katika mazingira ya...

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Happiness Sakabenga, jana amefariki ghafla chumbani kwake baada ya kutoka kwenye vipindi vya masomo asubuhi, chuoni hapo. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C sasa ahitaji mpenzi mzee....Asema Mapenzi ya vijana yamempa majuto ya...

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60.  Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio: DJ Choka ailezea ajali ya gari alilokuwemo marehemu George Tyson na...

Jana usiku wadau wa filamu na vipindi vya TV walipatwa na mshituko baada ya kupata taarifa kuwa muongozaji mahiri wa filamu na vipindi vya runinga, George Tyson amefariki katika ajali ya gari.   DJ...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya tarehe 1 June 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  tarehe  1  June  2014

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>