Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam afariki dunia katika mazingira ya kutatanisha

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Happiness Sakabenga, jana amefariki ghafla chumbani kwake baada ya kutoka kwenye vipindi vya masomo asubuhi, chuoni hapo. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili aliyekuwa akichukua Shahada ya kwanza ya Biashara na Uhasibu, baada ya kutoka darasani alikwenda kupumzika na hakuamka tena. Habari za ndani kutoka kwa marafiki zake zimeiambia 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>