Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la Polisi lasema, Vijana 17 waliokamatwa jijini Arusha si Al shabaab bali ni watuhumiwa waliohusika na tukio la ulipuaji wa bomu

$
0
0
JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo jana.   Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugezi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, alisema waliokamatwa ni watuhumiwa waliohusika na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>