JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa
na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la
Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo
jana.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,
Mkurugezi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, alisema
waliokamatwa ni watuhumiwa waliohusika na
↧