Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto Nasra aliyekuwa amefichwa ndani ya Boksi aondolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua

$
0
0
Hali ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua.   Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata hewa ya oksijeni baada ya kushindwa kupumua vizuri kutokana na nemonia.   Kutokana na nafuu hiyo, juzi usiku jopo la madaktari bingwa wa watoto katika Hospitali ya Taifa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>