Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Huyu jamaa alipelekwa Mahakamani kwa kesi ya kubaka, alipofika Mahakamani akataka kumbaka mtu tena

$
0
0
Watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyu walijitokeza Mahakamani ili kuangalia kama ndugu yao aitwae Simon Ngozi (21) ataweza kupata dhamana kwenye kesi inayomkabili ya kubaka mtoto wa miaka tisa.   Jamaa alikua amepelekwa Mahakamani Makadara Nairobi   nchini  Kenya  lakini ghafla akamshangaza kila mtu baada ya kutaka kumbaka Mwanamke aliyekua karibu yake baada ya kuanza kumshikashika.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles