Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Breaking News: Msanii Mwingine wa bongo muvi, George Tyson ambaye alikuwa ni mume wa Monalisa afariki dunia kwa ajali ya gari

$
0
0
NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi, mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry 'Monalisa', George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo la Morogoro akitokea mkoani Dodoma.   Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye blog  yake  kwamba Marehemu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>