NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi, mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry 'Monalisa',
George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo
la Morogoro akitokea mkoani Dodoma.
Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye blog yake kwamba Marehemu
↧