Waziri
Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimjulia hali
Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Arusha,Mzee Jackson Kaaya nyumbani
kwake Poli Meru wakati alipofika kumuona na kumsabahi.Pembeni ni mkewe
Bibi Jacobert Kaaya.Mzee Kaaya mwenye umri wa miaka 94 alikuwa
Mwenyekiti wa kwanza wa TANU Mkoa wa Arusha hadi alipostaafu mwaka 1984.
Mh.
Lowassa alikuwa Katibu wa
↧