Halmashauri ya manispaa ya Ilala imesema kuwa majani ya mapapai si tiba ya ugonjwa wa dengue hivyo ni vyema wananchi wakafika hospitalini kupatiwa dawa kuliko kudanganywa na waganga wa jadi....
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na kaimu mganga mkuu wa manispaa ya Ilala, Dr Willy Sango, wakati wakitoa mafunzo kwa wenyeviti wa serikali za
↧
Majani ya Mapapai hayatibu Dengue....Wananchi washauriwa kutokubali kudanganywa na waganga wa jadi
↧