MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne
mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili
.Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,
alipohamishiwa Mei 26 mwaka huu kwa ajili ya uchunguzi zaidi akitokea
katika Hospitali ya mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Daktari
↧