Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka
mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na
kumuibia shilingi milioni tisa.
Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia za kichawi angeweza kuzifanya pesa hizo kuwa maradufu yaani milioni 18.
Bwana Amos Chipeta pia ataongezwa
kifungo cha miezi tatu kwa kupatikana na vifaa vinavyoumiwa kufanya
↧