Hatimaye
Mtoto Nasra Mvungi aliyefariki Juni mosi mwaka huu kufuatia kuishi
katika matesa makubwa kutoka kwa mama yake mkubwa baada ya mama yake
kufariki na kuishi katika boksi bila huduma muhimu anazostahili kupatiwa
binadamu hasa mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja amezikwa kwa
heshima zote na wakazi wa Morogoro wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Joel
Nkaya Bendera, Mbunge wa
↧