Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Loveness Diva kufanya Video ya ‘Mashallah’ na Director wa Kenya

Diva The Bawse ambaye ametoa wimbo wake mpya ‘Mashallah’ siku chache zilizopita, amesema anajiandaa kuufanyia video pamoja na kuanza tour ya kuutangaza wimbo huo. “Video tunatarajia kufanya na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Orodha ya wasanii wa Kili Music Tour 2014 yatajwa, tweet ya Jaydee yamponza,...

Orodha ya wasanii watakaoshiriki kwenye Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo.   Mwaka huu zaidi ya wasanii 30 watashiriki katika ziara hiyo kwenye mikoa zaidi ya 10 nchini  itakayoanza Mei hadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nigeria yasema iko tayari kulegeza Msimamo kwa wafungwa wa Boko Haram ili...

Serikali ya Nigeria inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote zitakazowezesha kuachiliwa huru  na  salama kwa zaidi ya wasichana mia mbili wa shule waliotekwa nyara na wanamgambo wa kiislamu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichanga chatupwa mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini...

MWILI wa kichanga kinachokadiriwa kuwa na siku mbili umeokotwa ukiwa umetupwa eneo la mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini Dar.   Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kichanga hicho cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema awagombanisha Diamond na Prezzo.....Prezzo ajisifu kumvua nguo...

RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul  ‘Diamond’ yuko ndani ya bifu zito na mwanamuziki kiwango cha juu kutoka nchini Kenya, Jackson Ngechu Makini ‘Prezzo’ chanzo kikidaiwa ni Miss Tanzania 2006, Wema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Penny: Sitaki kusikia habari za Diamond....Nina mpenzi wangu mwingine

Zilipendwa wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’,  amefunguka kuwa hataki kumsikia mpenzi wake huyo wa zamani kwa madai kuwa amefungua ukurasa mpya wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga asema FORM SIX atakayekacha mafunzo ya...

Vijana wasiopungua 45,000 watakaomaliza kidato cha sita watajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria na watakaokwepa mafunzo hayo ya miezi mitatu, watashtakiwa.    Mpango huo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 14 May 2014

Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  14  May  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi afariki dunia baada ya kunywa VIROBA vingi bila kula chakula

Michael  Silanda ( 26 )   mkazi  wa  kijiji  cha  Ibindi, tarafa  ya  Nsimbo  wilaya  ya  Mlele  mkoani  Katavi  amefariki  dunia  baada  ya  kunywa  pombe ( Viroba )  aina  ya  Zed  kupita  kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abiria wa Bodaboda wageuziwa Kibao.....Abiria Ukikutwa umepanda pikipiki...

Meya  wa  jiji  la  Dar es Salaam,Dr Didas Massaburi  amesema  abiria  wataokutwa  wakiwa  wamepanda  Pikipiki  maarufu  kama  Boda boda  katika  maeneo  ambayo  pikipiki  hizo  hazina  leseni  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, Unasumbuliwa na tatizo la Vidonda vya Tumbo???.....Kama jibu ni Ndiyo,...

Vidonda  vya  tumbo  ni  tatizo  linalo  wasumbua   watu  wengi  duniani .  Kwa   mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, takribani mtu mmoja kati ya watu kumi anasumbuliwa  na  tatizo  la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) lasema liko tayari kwa lolote na...

NA THEODOS MGOMBA  wa gazeti la UHURU JESHI la Wanachi wa Tanzania (JWTZ), limeonya kuwa liko imara na litaendelea kusimamia na kutii amri na maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete.   Pia,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aua shemeji yake kwa kumkata Mapanga huko Tarime.....Kisa ni Mbwa kula Mayai

NA SAMSON CHACHA,Gazeti la Uhuru, TARIME MKAZI wa Kijiji cha Nyamwaga wilayani hapa mkoani Mara, Mbusiro Muyuyi, ameuawa kwa kukatwakatwa kwa panga kichwani na shemeji yake.   Mauaji hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Natafuta Hata Boyfriend tu Jamani Upweke Umenishinda

Jamani natafuta boyfriend ila awe serious maana huu upweke sasa unaelekea kuniua… Mchumba niliekuwa nae kapata ajali mwaka jana ikiyopoteza maishaa yake… Ni mwaka sasa umepita nadhani nahitaji kurudi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unalichukuliaje suala la mtu kuvaa T- shirt yenye maandishi ambayo hayaendani...

Mdau unalichukuliaje suala la mtu kuvaa T- shirt yenye maandishi ambayo hayaendani na yeye au yenye maneno makali hata yakiwa katika lugha si ngeni? Je mtu akivaa T-shirt ya namna hiyo na hajui maana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Girlfriend wa Cristiano Ronaldo ashambuliwa kwa kupost picha akiwa Uchi na...

Tangu wasichana 276 wa Nigeria walipotekwa nyara na kundi la Boko Haram, watu mbalimbali maarufu duniani wamepost picha kwenye mitandao ya kijamii wakiwa na mabango yaliyoandikwa ‘Bring back Our...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wimbo Mpya: Victoria Kimani Feat. Diamond & Ommy Dimpoz - Prokoto

Msanii wa Chocolate City, Victoria Kimani ameachia wimbo wake ‘Prokoto’ ambao amewashirikisha wakali wa bongo flava, Ommy Dimpoz na Diamond. Usikilize hapa:

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri Imefichuka: Kumbe Jay Z alitaka kwenda kwenye party ya Rihanna bila...

Tetesi za chanzo cha mdogo wake Beyonce, Solange kumpiga Jay Z walipokuwa ndani ya lift zinazidi kuzua ripoti kutoka kwa vyanzo mbalimbali.   Kwa mujibu wa The New York Daily News, Solange anadaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond ni moto wa kuotea mbali....Televisheni kubwa ya Marekani yamchagua...

Msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz ameipa ten heshima kubwa bendera ya Tanzania kwa kuwa kwenye kipengele cha msanii bora wa Kimataifa [Best International Act ], Hii na hatua kubwa kwa Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya tarehe 15 May 2014

Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  tarehe  15  May  2014 <!-- adsense -->

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>