NA THEODOS MGOMBA wa gazeti la UHURU
JESHI la
Wanachi wa Tanzania (JWTZ), limeonya kuwa liko imara na litaendelea
kusimamia na kutii amri na maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya
Kikwete.
Pia, limesema kamwe halitayumbishwa na hila na kauli za kisiasa zinazotolewa kwenye majukwaa.
Kauli hiyo ya
wapiganaji na walinzi wa taifa ilitolewa bungeni jana na Waziri wa
Ulinzi na
↧