Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aua shemeji yake kwa kumkata Mapanga huko Tarime.....Kisa ni Mbwa kula Mayai

$
0
0
NA SAMSON CHACHA,Gazeti la Uhuru, TARIME MKAZI wa Kijiji cha Nyamwaga wilayani hapa mkoani Mara, Mbusiro Muyuyi, ameuawa kwa kukatwakatwa kwa panga kichwani na shemeji yake.   Mauaji hayo yaliyowashitua wengi wilayani hapa, chanzo chake ni mbwa wa mtuhumiwa, Mwita Muyuyi (17), kula mayai ya kuku wa marehemu.   Habari za kuaminika zimesema kuwa, Mbusiro (45), alimtuhumu shemeji yake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>