Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kichanga chatupwa mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini Dar.....Kinakadiriwa kuwa na siku mbili, kilikuwa ndani ya Rambo

$
0
0
MWILI wa kichanga kinachokadiriwa kuwa na siku mbili umeokotwa ukiwa umetupwa eneo la mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini Dar.   Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kichanga hicho cha kiume kimekutwa eneo hilo jana  asubuhi kikiwa kwenye mfuko wa Rambo.    Mwandishi wetu  alifanikiwa kuongea na Ofisa Mtendaji wa Kata ya Makumbusho, Bi. Husna aliyetoa rai kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>