Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nigeria yasema iko tayari kulegeza Msimamo kwa wafungwa wa Boko Haram ili wasichana waliotekwa waweza kuachiwa huru

$
0
0
Serikali ya Nigeria inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote zitakazowezesha kuachiliwa huru  na  salama kwa zaidi ya wasichana mia mbili wa shule waliotekwa nyara na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram. Awali waziri wa serikali alikuwa ameshikilia msimamo mkali kama vile kukatalia mbali pendekezo la kiongozi wa Boko Haram la kubadililishana wafungwa wa Boko Haram wanaozuiliwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>