Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Batuli afunguka..."Sijawahi kumpenda mwanaume kama nilivyompenda Mtunis"

KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’.   Akizungumza na mwandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi Lagonga Lori na kuua watu 10....Lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Bunda,...

WATU 10 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa na kokoto lililoegeshwa kando ya barabara kisha kupinduka katika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasema VIPIMO na MATIBABU ya homa ya Dengue ni BURE

Magreth Kinabo – MAELEZO Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jambazi HATARI ambaye ni Kinara wa Uporaji katika Mabenki Atajwa....Jambazi...

PRESS RELEASE 14/05/2014 POLISI WAMGUNDUA KINARA WA MTANDAO WA WIZI KATIKA MABENKI JIJINI D’SALAAM (PICHA YAKE YATOLEWA HADHARANI) ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI Jeshi la Polisi Kanda Maalum D’Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAWI watajwa kutawala katika penzi la Ray na Chuchu Hans

UCHAWI umetajwa kwenye mapenzi ya staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na ubavu wake wa sasa, Chuchu Hans. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mapenzi ya Ray kwa Chuchu ni makubwa sana kiasi kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kunguni watikisa shule ya Pugu aliyofundisha mwalimu Nyerere, wanafunzi...

Moja kati ya maadui wakubwa wa usingizi ni mdudu ‘kunguni’ ambaye anaweza kumfanya mtu anayepanga kujipumzisha kuhisi anaadhibiwa kwa kufinywa.   Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Pugu iliyoko Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Msikilize Diamond akiongea na Gestina George baada ya kuchaguliwa...

Mwaka huu unaonekana kuwa mwaka wa mafanikio zaidi kwa Diamond PlatinumZ ambaye anazidi kuongeza ukubwa wa CV yake katika muziki kwa kupanda ngazi na majukwaa ya kimataifa.   Mshindi huyo wa tuzo saba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini Wema Sepetu hatumii umaarufu wa Diamond kutafuta fursa ya kufanya...

Siku Diamond Platnumz anafagia tuzo saba za Kilimanjaro, ubavu wake wa kushoto Wema Sepetu alikuwa naye bega kwa bega. Na katika wakati mmoja alipanda jukwaani kutoa maneno ya shukrani kwa niaba yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Mtoto Afariki Dunia baada ya kuangukiwa na Jiwe kubwa Ilemelea...

Mtoto  mmoja  aliyefahamika  kwa  Jina  la  Malaika  Jackson  amefariki  dunia  Muda  huu  ( saa kumi jioni )  baada  ya  kuangukiwa  na  Jiwe  kubwa  lililoporomoka wakati   baba  yake  akichimba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge 25 watarajiwa kuhama vyama vyao na kujiunga na chama kipya cha...

Wanasiasa  kutoka  vyama  mbalimbali  vya  siasa  nchini  wakiwemo  wabunge  17 kutoka  chama  cha  Demokrasia  na  Maendeleo  ( Chadema ),wanatarajiwa  kujiunga  na  chama  kipya  cha  siasa  nchini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ni Nafasi Mpya za kazi toka Tanzania Petroleum Development Corporation...

Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is looking for experienced, dynamic, energetic, visionary and qualified candidates to fill the most senior positions within the Corporation’s.  These...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwimbaji Amina Ngaluma afariki Dunia

MWIMBAJI nyota wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', Amina Ngaluma 'Japanese' amefariki dunia akiwa nchini Thailand baada ya kupatwa na uvimbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 16 May 2014

Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  Tarehe  16  May  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Johari afunguka : Ray hawezi kumuoa Chuchu Hans, huo ni utapeli tu

Blandina Chagula ‘Johari’, juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent Kigosi ‘Ray’, kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maswali 10 tata pamoja na Majibu yake kuhusu Homa ya dengue

Tangu ugonjwa wa homa ya dengue uibuke mkoani Dar es Salaam na baadaye maeneo mengine ya nchi, wananchi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi yenye utata ambayo sasa yamepata majibu ya wataalamu.    1....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasema ina mpango wa kujenga MAHABUSU za watoto katika kila mkoa...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima amesema Serikali ina mpango wa kujenga mahabusu za watoto katika kila mkoa nchini. Alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Chuo kikuu wa SAUT jijini Mwanza auawa na wanafunzi wenzake kwa...

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) cha jijini Mwanza, Helma Michael (22) ameuawa kwa kupigwa mawe na wanafunzi wenzake, wakimhisi kuwa ni mwizi wa kompyuta ndogo za mkononi na deki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi za Mafunzo na kazi toka RafikiElimu Foundation......Baada ya mafunzo...

Taasisi  Ya  RafikiElimu  FOUNDATION   inatangaza  nafasi  za   MAFUNZO  YA  UENDESHAJI  NA  USIMAMIZI  WA  TAASISI  ZISIZO  KUWA  ZA  KISERIKALI. (  NGO  MANAGEMENT & OPERATION  )  kwa  waombaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu wanne wapoteza maisha kwenye mlipuko wa Bomu Mjini Nairobi, Kenya

WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya.  Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana aliyenunua makahaba wawili na kujifungia nao chumbani kwa lengo la...

Mwanaume  mmoja  ambaye  ni  muokota  chupa  maarufu  aliyetambuliwa  kwa  jina  moja  la  Hamad  anadaiwa  kunusurika  kufa  katika  nyumba  moja  ya  kulala  wageni  iliyoko  eneo  la  Manzese...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>