Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Batuli afunguka..."Sijawahi kumpenda mwanaume kama nilivyompenda Mtunis"

$
0
0
KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’.   Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama alivyompenda Mtunis.   “Nilivyompenda Mtunis ni ngumu sana kumpenda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>