Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Breaking News: Mtoto Afariki Dunia baada ya kuangukiwa na Jiwe kubwa Ilemelea jijini Mwanza ....Mtoto huyo alikuwa na wazazi wake wakichimba kokoto za kuuza

$
0
0
Mtoto  mmoja  aliyefahamika  kwa  Jina  la  Malaika  Jackson  amefariki  dunia  Muda  huu  ( saa kumi jioni )  baada  ya  kuangukiwa  na  Jiwe  kubwa  lililoporomoka wakati   baba  yake  akichimba  kokoto  katika  mlima  Giza, maarufu  kama  mlima  wa  Rada  uliopo  maeneo  ya  Kiseke, Wilaya  ya  Ilemela  mkoani  Mwanza Kabla  ya  kufikwa  na  mauti  hayo, Mtoto  huyu  alikuwa   na  baba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>