Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yasema VIPIMO na MATIBABU ya homa ya Dengue ni BURE

$
0
0
Magreth Kinabo – MAELEZO Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo. Aliyasema hayo kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>