UCHAWI umetajwa kwenye mapenzi ya staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na ubavu wake wa sasa, Chuchu Hans.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mapenzi ya Ray kwa Chuchu ni makubwa sana
kiasi kwamba hayawezi kuwa ya hivihivi tu kwani msichana huyo ni mtoto
wa Kitanga anayejua jinsi ya kumshika mwanaume kama Ray.
“Unajua siku moja niliongea na mtu, sitaki kumtaja jina. Akasema
↧