Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kunguni watikisa shule ya Pugu aliyofundisha mwalimu Nyerere, wanafunzi walala madarasani

$
0
0
Moja kati ya maadui wakubwa wa usingizi ni mdudu ‘kunguni’ ambaye anaweza kumfanya mtu anayepanga kujipumzisha kuhisi anaadhibiwa kwa kufinywa.   Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Pugu iliyoko Dar es Salaam, ambayo ina historia ya pekee kwa kuwa ni moja kati ya shule alizofundisha muasisi wa Taifa hili, mwalimu Julius Kambarage Nyerere wamekumbwa na mtihani mkubwa na kulazimika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>