Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yasema ina mpango wa kujenga MAHABUSU za watoto katika kila mkoa nchini.

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima amesema Serikali ina mpango wa kujenga mahabusu za watoto katika kila mkoa nchini. Alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Riziki Omar Juma (CUF).   Katika swali lake mbunge huyo alitaka kujua lini Serikali itajenga mahabusu za watoto ili kuwapunguzia udhalilishaji na manyanyaso

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>