Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Natasha naye augua Dengue na kulazwa...."nilihisi naaga dunia kiukweli...

STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengue  (Dengue Fever).   Akiongea na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper apiga mwereka ukumbini baada ya kunywa pombe kupita kiasi

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuwa tilalila na kujikuta akipiga mwereka kwenye shughuli ya kibao kata cha mwigizaji mwenzake, Vanita Omary. Kwa mujibu wa ‘shushushu’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape asema NDOA ya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi ni ya...

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahaba ya Snura awapo Sita kwa Sita yatishia kuvunja kitanda

Staa  wa  kike  anayetikisa  kwenye  tasnia  ya  filamu  na  muziki, Snura  Mushi  a.k.a  Majanga  anadaiwa  kuwa  ni  mmoja  wa  mastaa  wa  kike  wenye  ujuzi  mkubwa  kimahaba  kiasi  cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutovaa nguo za ndani kwamuumbua Naomi Campbell....!

Mwanamitindo  wa  kimataifa  wa  Marekani, Naomi  Campbell  mwishoni  mwa  wiki  jana  alikumbwa  na  tukio  la  aibu  baada  ya tatizo  lake  la  kusahau  kuvaa  chupi  kumsababishia  tatizo  kubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Avunja Ndoa yake kwa kutamani maisha ya Wema Sepetu.....

Kuiga  ni  kawaida  kwa  wengi.Wapo  walioiga  mambo  fulani  na   hatimaye  wakafanikiwa, na  pia  wapo  walioiga  vitu  flani  wakaharibikiwa.Huyu  aliiga  na  akaharibu  kila  kitu... Ni  msanii  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

Rwanda imemkataa Balozi  mteule wa Tanzania, Mussa Siwa, ambaye alitakia na serikali kwenda kufanya kazi kwenye ubalozi wa Tanzania nchini humo.Taarifa kutoka Rwanda na duru za ndani ya serikali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa kamati za mahesabu za...

  Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika(Afropac) ili kuziba nafasi ambayo ilikuwa iikishikiliwa na nchi ya Msumbiji....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kundi la kig*idi la Boko Haram latoa masharti ya kuwaachilia wasichana wa...

Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunty Lulu Avua Nguo Hadharani Ukweni baada ya pombe kupanda kichwani

Msichana wa mjini asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’, kwa mara nyingine amefanya kituko cha aina yake baada ya kuzua timbwili kisha kusaula nguo zote hadharani bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina na utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT ) kwa...

UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014. AWAMU YA KWANZA; Vijana 20,000 wataripoti kwenye makambi ya mafunzo ya JKT kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa homa ya Dengue......

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA DENGUE “DENGUE FEVER” Utangulizi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari wa Mwanza Afia Gesti jijini Dar

Mwili wa Dk. Raymond Simion ukitolewa kwenye chumba cha kulala wageni na polisi. MTU mmoja aliyedaiwa kuwa ni daktari wa jijini Mwanza, Raymond Simion (36) amekutwa amekufa ndani ya chumba kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 13 May 2014

      Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  13  May  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachina 9 walazwa kwa homa ya Dengue.....Rais Kikwete aagiza hatua za dharura...

Wakati raia tisa wa China wakibainika kuugua ugonjwa wa dengue na kulazwa hapa nchini, Rais Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kuagiza wizara zake mbili kukabiliana na ugonjwa huo kwa dharura....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraza kivuli la UKAWA halina mashiko kisiasa

KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Albino auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Simuyu....Anyofolewa mguu wa kushoto...

MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiyu.   Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa chuo kikuu kujiajiri.....

Mbunifu wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006, Jokate Mwegelo akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kongamano la 2014 Market Forum lililofanyika kwenye ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pombe yamponza Wema Sepetu........Augua, ajirusha

Wakati  ishu  ya  kuolewa  ikiwa  bado  inamsumbua  kichwani  Miss  Tanzania  2006 ,Wema  Sepetu  amejikuta  akiugua  gonjwa  linalosababishwa  na  vinywaji  baridi.... Bi  shosti  huyo  ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haikuwa Rahisi: Nick wa Pili asimulia ugumu wa maisha, aliuza SAMBUSA darasa...

Drake anasema ‘We started from the Bottom’ lakini Mweusi Nick wa Pili anasema ‘Haikuwa Rahisi’.   Nick wa Pili ambaye ni moja kati ya rappers bora zaidi Tanzania na mshindi wa tuzo ya KTMA ameelezea...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live