Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Albino auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Simuyu....Anyofolewa mguu wa kushoto na vidole vitatu

$
0
0
MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiyu.   Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyake kama mguu wa kushoto na vidole vitatu kuchukuliwa na watu wasiojulikana.   Marehemu alikuwa mkazi wa Gasuma akijishughulisha na kilimo. <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>