Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Daktari wa Mwanza Afia Gesti jijini Dar

$
0
0
Mwili wa Dk. Raymond Simion ukitolewa kwenye chumba cha kulala wageni na polisi. MTU mmoja aliyedaiwa kuwa ni daktari wa jijini Mwanza, Raymond Simion (36) amekutwa amekufa ndani ya chumba kwenye nyumba ya kulala wageni ‘gesti’ ijulikanayo kwa jina la Nesta iliyopo Ubungo NHC wilayani Kinondoni jijini Dar. Taarifa kutoka katika gesti hiyo zinasema marehemu alijiorodhesha kwenye kitabu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>