Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Pombe yamponza Wema Sepetu........Augua, ajirusha

$
0
0
Wakati  ishu  ya  kuolewa  ikiwa  bado  inamsumbua  kichwani  Miss  Tanzania  2006 ,Wema  Sepetu  amejikuta  akiugua  gonjwa  linalosababishwa  na  vinywaji  baridi.... Bi  shosti  huyo  ambaye  aling'ara  usiku  wa  tuzo  za  Kili  akiwa  na  mpenzi  wake  Diamond  alisema  kuwa  anasumbuliwa  na  ugonjwa  wa  mafindofindo (Tonsils)  ambao  umemfanya  kutokunywa  vinywaji  anavyovipenda 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>