Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msanii Natasha naye augua Dengue na kulazwa...."nilihisi naaga dunia kiukweli lakini niliwahi kwenda hospitali, nimepata tiba, nimeruhusiwa"

$
0
0
STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengue  (Dengue Fever).   Akiongea na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani, hajawahi kuugua hata homa lakini kwa mara ya kwanza mwaka huu homa ya dengue imemlaza.   “Nilianza kusikia baridi kali sana kisha nikawa naishiwa nguvu na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>