Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kundi la kig*idi la Boko Haram latoa masharti ya kuwaachilia wasichana wa Nigeria lililowateka nyara...Hii ni video yao wakiwa wamesilimishwa

$
0
0
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.   Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Wasichana ambao kundi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>