Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu
amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu
wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria
wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo,
kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika
kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Wasichana ambao kundi
↧