Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nape asema NDOA ya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi ni ya ubabaishaji.....Akumbushia jinsi Tundu Lissu alivyoitukana na kuikejeli CUF

$
0
0
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.   Nape amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Parking mjini Nzega na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>