Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Girlfriend wa Cristiano Ronaldo ashambuliwa kwa kupost picha akiwa Uchi na bango lililoandikwa #bringbackourgirls

$
0
0
Tangu wasichana 276 wa Nigeria walipotekwa nyara na kundi la Boko Haram, watu mbalimbali maarufu duniani wamepost picha kwenye mitandao ya kijamii wakiwa na mabango yaliyoandikwa ‘Bring back Our Girls’, ikimaanisha wanajiunga na kampeni ya raia wa Nigeria.   Mwana mitindo Irina Shayk ambaye ni mpenzi wa mchezaji wa mpira wa miguu Christian Ronaldo yeye amepost picha kwenye twitter

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles