Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA WA BANDARI ANASWA AKIOMBA RUSHWA YA NGONO KWA MWANAFUNZI ILI AMPE AJIRA...

Mtuhumiwa  akihojiwa na polisi MWANAMUME aitwaye Andrew Kabula (34), mkazi wa Kimara Mwisho jijini, hivi karibuni alinaswa gesti akiwa na mwanafunzi ‘denti’ aliyetaka kufanya naye ngono ili ampatie...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS ZITARUSHWA LIVE MTANDAONI....

Usiku wa tuzo za Muziki Tanzania maarufu kama Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 unatarajiwa kuonyeshwa live mtandaoni siku ya Jumamosi, Juni 8. Tofauti na miaka mingine ambayo tukio la utoaji tuzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYAMA VYA UPINZANI VYANUIA KUUNGANA 2015

Vyama vya siasa vyenye idadi ndogo ya wanachama nchini vimekubali hatua ya kuungana na kuwa Muungano wa vyama (Alliance) kwa lengo la kupata nguvu ya uwakilishi wa kuingia katika Bunge Jipya la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA ATEULIWA KULIONGOZA JESHI LA KULINDA AMANI HUKO DARFUR

Lt. Jenerali Paul Ignace Mella,Mkuu Mpya wa Jeshi la Mseto kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika maarufu kama UNAMID linalolinda Amani huko DARFUR Nchini Sudan.  Lt. Jenerali. Mella kutoka Jeshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA YAKE DIAMOND YUPO HOI ANAUMWA......DIAMOND HAJAWAHI KANYAGA KUMJULIA HALI

BABA wa msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Juma yupo hoi akisumbuliwa na ugonjwa wa miguu.  Kwa mujibu wa chanzo makini, Baba Diamond anasumbuliwa na tatizo la miguu kuvimba hali ambayo imemfanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

M 2 THE P AREJEA TANZANIA KUMZIKA MANGWEA LEO

Rafiki wa wa karibu wa marehemu Albert Mangwea aliyekuwa amelazwa nchini Afrika Kusini amerejea Tanzania na yuko njiani akielekea mkoani Morogoro kwaajili ya kushiriki mazishi ya swahiba wake Mangwea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA SAFARI YA MWISHO YA ALBERT MANGWEA KATIKA UWANJA WA JAMHURI...

Meza kuu hii ikiwa ni maandalia ya kuuaga mwili wa msanii marehemu Albert Mangwea aliyefariki dunia na anatarajiwa kuzikwa leo mkoani morogoro. Utaratibu huu umeandaliwa katika uwanja wa jamuhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI YAUNDA SHERIA KUWADHIBITI WANAUME WANAOVAA SURUALI CHINI YA MAKALIO YAO

Sina shaka umeshasikia style za uvaaji wa suruali hususan kwa wanaume zenye majina kama mlegezo au kata k, au yawezekana ukawa huzijui kwa majina lakini umeshashuhudia vijana wamevaa suruali chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KADA WA CHADEMA ALIMWA SHOKA LA MGONGONI NA WATU WANAODAIWA KUWA NI WALINZI...

Mtu  mmoja  anayedaiwa  kuwa  ni  kada  wa CHADEMA  amelimwa  shoka  la  mgongoni  na  watu  wanaodaiwa  kuwa  ni  walinzi  wa  CCM wakati  wa  harakati  za  kampeni  za  uchaguzi  wa  udiwani  huko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA M 2 THE P AKILIA KWA UCHUNGU WAKATI WA KUMUAGA ALBERT NGWEA MOROGORO...

M2  THE P amefanikiwa  kutoa  salamu zake  za  mwisho  kwa  rafiki yake  kipenzi  ambaye  alikuwa  naye  huko  Afrika  kusini  tena  walikuwa  ndani  ya  chumba  kimoja  kabla ya  mauti  kumkuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE NGWEA AZIKWA KWENYE MAKABURI YA KIBONDA MKOANI MOROGORO....HIZI NDIO...

Baada ya siku kadhaa zilizokuwa na kila aina ya harakati, ugumu na majonzi makubwa, Albert Mangweha aka Ngwair leo amezikwa kwenye makaburi ya Kihonda mkoani Morogoro ambako ni nyumbani kwao. Kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KHADIJA KOPA AKIELEKEA UWANJA WA NDEGE JANA KWA AJILI YA MSIBA WA MUMEWE...

Khadija Kopa akilia kwa uchungu mara baada ya kupata taarifa za mumewe kufariki. Akipewa sapoti wakati akielekea uwanja wa ndege. Baadhi ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MAMA MZAZI WA JAFFARI ALLY (MUME WA KHADIJA KOPA)

 Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa, akilia kwa uchungu nyumbani kwake Tandale jijini Dar.  Simanzi na majonzi vilitawala msiabani hapo. Akina mama waliofika kumpa pole Mama Mzazi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUSIPOCHUKUA HATUA, DAWA ZA KULEVYA ZITAWAMALIZA WANAMICHEZO NA WANAMUZIKI WA...

DAWA za kulevya ni hatari, ni hatari sana. Maisha ya baadhi ya wasanii na wachezaji yamepotea kutokana na matumizi ya dawa hizo.Aidha, dawa za kulevya husababisha baadhi ya wasanii na wachezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA WA CLOUDS FM NAYE ATOA PICHA YA NUSU UCHI ILI KUMTEKA PREZZO...

Baada ya huddah kuweka picha yake akiwa na prezzo na kuzua gumzo mitandaoni, Diva  wa  clouds  fm ameamua kuweka picha yake ya NUSU UCHI   ili kupotezea  Aibu  hiyo.. "Love at the first sight...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDO UTENGENEZAJI WA BIKRA FEKI....WANAUME MSIKUBALI KUIBIWA

WANAUME,kuweni makini na Bikra feki...Wanawake wana mbinu nyingi sana za kukuingiza kingi,ndoa imekuwa mtihani kwao,wanafanya kila balaa ili wakuchote akili uingie kingi. Ukiacha hawa wengne ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGONO ZAANZA KUTAWALA JUMBA LA BIG BROTHER.....VIDEO YA BOLT NA BETTY YANASWA...

Mpaka sasa tayari tumeshuhudia couple 4 za housemates katika Big Brother ‘The chase’ , lakini couple ya mu Ethiopia Betty na mu Sierra Leon Bolt ndio ilikuwa ya kwanza kufahamika katika wiki ya kwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAANDALIZI YA JUKWAA LA KILL MUSIC AWARDS......TUKIO LITARUSHWA LIVE...

Kesho ndio siku yenyewe ambayo wasanii waliotajwa kuwania tuzo za mwaka huu za muziki wa Tanzania, Kilimanjaro Tanzania Music Awards, KTMA watajua hatma yao.  Tuzo za Kili zitatolewa kesho June 8...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPENZI WA ALBERT NGWEA AKILIA KWA UCHUNGU WAKATI WA MAZISHI

MAJONZI na vilio vilitawala juzi katika zoezi la kuuaga mwili wa marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kwenye Viwanja vya Leaders lakini mmoja wa waliotia fora katika kuangua kilio alikuwa dada mmoja mzungu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANGAZAJI WA TIMES FM ( KHADIJA SHAIBU) AJIANIKA "AKIKATA GOGO " CHOONI

MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni huku nyingine akiwa chooni  akikata  gogo. Picha...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>