Mtuhumiwa akihojiwa na polisi
MWANAMUME aitwaye Andrew Kabula (34), mkazi wa Kimara Mwisho jijini,
hivi karibuni alinaswa gesti akiwa na mwanafunzi ‘denti’ aliyetaka
kufanya naye ngono ili ampatie kazi bandarini..
Kabula
a.k.a Afisa Feki alijitapa kwa denti huyo kwamba ni Afisa wa Mamlaka ya
Bandari jijini Dar na ana uwezo wa kumpatia kazi kama atampa rushwa ya
ngono.
Kwa kutambua
↧