Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO RASIMU YA KATIBA MPYA KWA AJILI YETU WATANZANIA.....MAMBO YOTE YAKO...

<!-- adsense --> Rasimu  ya katiba  ipo tayari kwa ajili yetu watanzania..... Ili  kuisoma, bofya  hapo  chini << RASIMU  YA  KATIBA  MPYA>>.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHIRIKI WA TANZANIA ( FEZA KESSY) KATIKA BIG BROTHER YUKO HATARINI...

Kama hisia za wengi zilivyokuwa kuhusiana na Betty kulipiza kisasi, mambo yameenda hivyo.. Betty ambaye ni Head of House wa Diamond house amemuokoa Bolt na kumuweka kikaangoni Feza.. Katika Ruby house,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMULIZI: MZEE WA MIAKA 80 ATENDEWA UNYAMA WA KUTISHA...... FAMILIA YAKE...

MAISHA ya familia ya mzee Athumani Mwenda, 80, ni ya mateso makali baada ya nyumba yao kubomolewa ikiwa na vitu ndani. Mzee huyo na familia yake sasa wamekuwa wakiishi nje huku wakikabiliwa na njaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA ALBERT MANGWEA UKISUBIRIWA KUPOKELEWA HIVI SASA

<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALBERT NGWEA APOKELEWA KWA HUZUNI KUBWA, MWILI WAKE UMEPELEKWA HOSPITALI YA...

 Mwili ukipelekwa  muhimbili.... Mwili wa Marehemu Albert Mangwea aliyefariki dunia May 28 huko Johannesburg leo umeingia Dar es salaam na kupelekwa moja kwa moja hospitali ya Muhimbili, umati wa watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SITANYAMAZA KUSHAMBULIWA KWANGU.NI LAZIMA JAMII IJUE"...HII NI KAULI YA...

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda (wa tatu kulia) akiwasili jana.   MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda amerejea chini jana kutoka Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANADADA WA KITANZANIA ANAYETARAJIWA KUNYONGWA IJUMAA HII NCHINI MISRI BAADA...

Kuna hizi habari  ambazo  zimeanza  kusambaa  kwa  kasi  siku  ya  jana  katika  mitandao  ya  kijamii..... Taarifa  hizo  zinamuonesha  msichana  ( pichani)  wa  kitanzania  ambaye  anadaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUONEKANO WA JUKWAA NA SEHEMU YA KUUAGA MWILI WA ALBERT NGWEA NDANI YA...

 Sehemu hii ndipo mwili wa marehemu Albert Mangweha  utawekwa hapa tayari ya kuanza zoezi zima la kumuaga. Kwa wale mashabiki wa EAST Cost nadhani watakuwa wanamfahamu msanii huyu anajulikana kwa jina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA ALBERT MANGWEA UMESHAWASILI VIWANJA VYA LEADERS CLUB KWA AJILI YA...

Mwili  wa  marehemu  Albert  Ngwea  umeshafika   viwanja  vya  Leaders  club.... Updates  zinakuja<!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO 10 KUHUSU DIAMOND LIKIWEMO LA KUMILIKI ZAIDI YA BILIONI MOJA KATIKA...

1. Ana utajiri unaozidi shilingi bilioni 1. 2. Yupo kwenye mazungumzo na promoter wa Rwanda kufanya show moja ya uwanjani ambayo anaweza kulipwa dola 120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 190. 3....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MATEKA AKING'OLEWA MENO KIKATILI...NI UNYAMA ULIOPITILIZA

Pengine umewahi kusisimka mwili kwa kusoma habari ama kuhadithiwa taarifa za watu kufanyiwa ukatili wa kupigwa, kutobolewa macho, kung'olewa kucha, kupigwa viwiko vya viungo vya mwili na pengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES TOKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB KATIKA SALAMU ZA MWISHO KWA ALBERT NGWEA

 Gari lililobeba Mwili wa Marehemu Albert Mangwea likiwa limeshawasili katika viwanja vya leaders tayari kwa wakazi wa jiji la Dar kutoa Heshima zao Za Mwisho Kabla ya Mwili Kusafirisha Mkoani Morogoro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUNASWA AKIMBAKA BINTI WA MIAKA 10 MKOANI...

Mkazi mmoja wa Mwangata katika Manispaa ya Iringa amenusurika kuuwawa na wananchi baada ya kukutwa akimbaka binti wa miaka kumi. Tukio hilo linaelezwa kutokea jana saa nane mchana, pale ambapo mazazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA TOKA MOROGORO AMBAKO ALBERT MANGWEA ATAZIKWA BAADA YA KUAGWA VIWANJA...

 Wageni waliofika msibani Morogoro kwa marehemu Mangwea.  Masufuliya ya chakula kwa watu waliokuwepo msibani morogoro.  Wakipanga jambo kutokana na eneo la nyumbani kwao marehemu Mangwea kuwa padogo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMUAGA ALBERT NGWEA.....SALAMU ZA MWISHO ZIMEANZA...

Diamond Platnumz akipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima zake za mwisho. Rais wa Chama cha Wanamuziki Nchini. Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA MWENZETU ANATARAJIWA KUNYONGWA IJUMAA HII HUKO MISRI.....HII NI...

Asubuhi  tuliripoti  juu  ya  kuwepo  kwa  mtanzania  mwenzetu  anayetarajiwa  kunyongwa  ijumaa  hii (   bado  hatuna  uhakika  )..... Tumefanikiwa  kuinasa  video  wakati  akikamatwa  na  madawa  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANASA ZA DUNIA NA UVIVU WAMFANYA MR. NICE ATIMULIWE NA GRANDPA RECORDS YA KENYA

Mambo yamwendea mlama msanii kutoka Tanzania Mr.Nice ambae alikuwa ameula katika nchi jirani  ya Kenya kwa kusaini mkataba mnomo na familia kubwa ya Muziki ya GrandPa Records inayowapeleka mbele sana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA TOKA MOROGORO AMBAKO MWILI WA ALBERT NGWEA UMEPOKELEWA TAYARI KWA MAZISHI

Msafara wa kupokea mwili wa msanii  marehemu Albert Mangwea ukiwa unaingia morogoro hapa ni eneo la nane nane,Umati mkubwa umejitokeza katika mapokezi hayo jioni ya leo    MAPOKEZI YA MWILI WA NGWEA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"UMASIKINI WA AKILI YA VIONGOZI NDO SABABU INAYOWAFANYA WAINGIE MIKATABA...

Viongozi wa afrika wanastahili kulaumiwa kutokana na rushwa na uhamishwaji haramu wa mitaji unaofanywa na makampuni ya kimataifa, asema mkurugenzi mtendanji wa IPP, Bw. Reginald Mengi  video <!--...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA

Khadija Omar Kopa akiwa na mumewe Jaffari Ally enzi za uhai wake.Mume wa Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Omar Kopa, aitwaye Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.    Marehemu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live