Mambo yamwendea mlama msanii kutoka Tanzania Mr.Nice ambae
alikuwa ameula katika nchi jirani ya
Kenya kwa kusaini mkataba mnomo na familia kubwa ya Muziki ya GrandPa Records
inayowapeleka mbele sana wasanii kadhaa akiwemo DNA, Ng’ang’a wa TPF na
wengine.
Mr. Nice amepigwa chini na Familia hiyo ambayo tayari
ilikuwa imeshampigisha hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kumuandalia tour ya
↧