Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda (wa tatu kulia) akiwasili jana.
MWENYEKITI
wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda amerejea chini
jana kutoka Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa na kusisitiza kwamba
hatanyamaza kuzungumzia janga la kushambuliwa kwake.
Akizungumza
na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege
↧