Gari
lililobeba Mwili wa Marehemu Albert Mangwea likiwa limeshawasili katika
viwanja vya leaders tayari kwa wakazi wa jiji la Dar kutoa Heshima zao
Za Mwisho Kabla ya Mwili Kusafirisha Mkoani Morogoro kwaajili ya Mazishi
Baadhi
ya Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wana kamati wakijiandaa
kuteremsha jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Albert Mangwea katika
viwanja vya Leaders muda
↧