Khadija Kopa akilia kwa uchungu mara baada ya kupata taarifa za mumewe kufariki.
Akipewa sapoti wakati akielekea uwanja wa ndege.
Baadhi
ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza
kupanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija
Omar Kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya
kufiwa na mumewe
↧