Baada
ya siku kadhaa zilizokuwa na kila aina ya harakati, ugumu na majonzi
makubwa, Albert Mangweha aka Ngwair leo amezikwa kwenye makaburi ya
Kihonda mkoani Morogoro ambako ni nyumbani kwao.
Kabla
ya kuzikwa, wananchi wa Morogoro walipata fursa ya kuuaga mwili wake
kwenye uwanja wa Jamhuri.
Umati mkubwa wa wananchi ulijitokeza kutoa
heshima zao za mwisho kwa mwili wa Ngwair
↧
HATIMAYE NGWEA AZIKWA KWENYE MAKABURI YA KIBONDA MKOANI MOROGORO....HIZI NDIO PICHA ZA MAZIKO YAKE
↧