WANAUME,kuweni makini na Bikra
feki...Wanawake wana mbinu nyingi sana za kukuingiza kingi,ndoa imekuwa
mtihani kwao,wanafanya kila balaa ili wakuchote akili uingie
kingi.
Ukiacha hawa wengne ambao wameamua kuwa Washirikina kwa kwenda kwa
Waganga na kupewa dawa za kukukamata,kuna hawa wanawake ambao
wametumika kama Bajaj ,wakikuona umekaa dizaini ya muoaji
halafu una hela,utapigwa tukio
↧