Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"CHADEMA haina uwezo wa kushika dola kutokana na mfumo wake wa utawala kuwa...

Chama  cha  mapinduzi  ( CCM)  manispaa  ya  Moshi  mkoani  Kilimanjaro   kimeendelea  kusisitiza  kuwa  chama  cha  demokrasia  na  maendeleo, CHADEMA   hakitaweza  kushika  dola  kutokana  na  mfumo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka amwanika binti yake "Naveen" hadharani.

  Rose  Ndauka ambaye ni mama anayetamba ndani  ya filamu za kibongo hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike na kumpa jina la Naveen. Upekuzi  wa  mtandao  huu  umefanikiwa   kuinasa  picha  ya  Naveen...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Emmanuel Nchimbi akabidhi ofisi rasimi kwa waziri mpya wa wizara ya...

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akitoa neno fupi wakati wa hafla fupi ya Makabidhiano rasmi ya Ofisi kwa Waziri Mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mhe. Mathias...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akutana na mnadhimu mkuu wa...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mnadhimu Mkuu wa Majeshi, Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yapunguza gharama za kuunganisha umeme majumbani

SERIKALI imeamua kupunguza kwa kiasi kikubwa bei ya kuunganisha umeme majumbani na kufikia sh. 27,000/ kwa wanavijiji wanaoishi kwenye maeneo ambayo bomba la gesi linapita. Hatua hiyo imetangazwa jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za mkutano wa CHADEMA mkoani Iringa leo ambapo Dr. Slaa amevuna mmoja...

Hii ndio  Helbopta  iliyowakusanya  wana Iringa  leo uwanja wa Mwembetogwa  Dr Slaa akiwasili katika  kiwanja cha Mwembetogwa leo  Mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwahutubia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Deni la Taifa wanafaidi wezi wachache, tunalipa wote."...Zitto Kabwe

  Leo nimeandika kuhusu Deni la Taifa kukua kwa kasi na kufikia tshs 27 trilioni mpaka Desemba 2013 kutoka tshs 10 trilioni mwaka 2005. Baadhi ya Watalaamu wanajenga hoja kuwa kukopa sio shida, bali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

  MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awatembele wananchi walioathirika na mafuriko katika Mkoa wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za Zitto Kabwe ( CHADEMA ) kutoka kimapenzi na mbunge Catherine Magige...

KUNDI la watu ambao inadaiwa kwamba wamekula yamini ya kumchafua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa namna yoyote ile, wamemuonjesha machungu Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA kususia uchaguzi mkuu wa 2015 iwapo Serikali haitaboresha Daftari la...

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa sharti ambalo kama halitatekelezwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wala hakitapiga kura ya kupitisha rasimu ya katiba.    Sharti hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa aipinga sheria ya kuyafungia magazeti....Amtaka Naibu Waziri wa...

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  ya Mambo ya Nje, Edward Lowassa, amesema anakerwa na tabia ya serikali kufungia magazeti na amemfunda Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa habari wa BBC Ann Waithera afariki dunia

 marehemu Ann enzi za uhai wake Ann alikuwa anafanya kazi na BBC katika ofisi za Nairobi na amekuwa akiugua Saratani ya Ubongo kwa karibu miaka miwili.   Ann aliwahi kuwa ripota wa BBC mjini Addis...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yauchokonoa Usalama wa Taifa....Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph...

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mafanikio kinayopata yanatokana na maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kutoa siri kwao. Kauli hiyo imetolewa juzi mjini hapa na Mbunge wa Mbeya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Najaribu kutafuta mwanaume aliye mkamilifu japo kidogo....Si kwamba...

Penniel Mwingila aka VJ Penny ambaye wengi wanamfahamu kama mpenzi wa mkali wa Bongo Flava, Diamond Platinumz ambao hivi sasa hawako pamoja, anaamini kuwa ingawa hakuna mwanaume mkamilifu, kuna sehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburi lafukuliwa na maiti kunyofolewa uti wa mgongo

WATU wasiofahamika wamefukua kaburi la Rosa Kikwe, aliyefariki dunia mwaka 2005 na kuchukua mfupa wake wa uti wa mgongo, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina. Jeshi la Polisi Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Sheni afunguka ...... Tunataka serikali mbili

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinaunga mkono muundo wa Serikali mbili. Dk. Shein alitoa kauli hiyo juzi, wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Azavel Lwaitama akamatwa na...

ALIYEKUWA Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Azavel Lwaitama, amejikuta akipelekwa polisi baada ya kutokuwa tayari kuzungumza lugha ya Kiingereza ndani ya ndege ya Precision Air. Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nguvu za Edward Lowassa zaitesa UVCCM...Mmoja wa viongozi wake atoa taarifa...

Ushawishi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeipasua Jumuiya ya Vijana ya chama hicho (UVCCM). Mmoja wa viongozi  wake ametoa taarifa iliyojaa maneno makali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mauaji yaitikisa nchi...Jambazi laendesha mauaji ya watu 8 kwa siku tatu...

Mauaji ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live